Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo MSANII. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo MSANII. Onyesha machapisho yote
Julai 14, 2014
WEMA AZIDI KUNG'ARISHA NYOTA YA DIAMOND,AZIDI KUTAJWA KWENYE NYIMBO
Posted on Jumatatu, Julai 14, 2014 by Unknown
Umri wamponza SHILOLE, akataliwa ukweni
Posted on Jumatatu, Julai 14, 2014 by Unknown
Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.
Julai 13, 2014
PICHA ZA DIAMOND PLATNUMZ ALIPOKUWA RED CARPET YA UZINDUZI WA MOVIE YA THINK LIKE A MAN 2
Posted on Jumapili, Julai 13, 2014 by Unknown
Mtangazaji wa Television kubwa duniani ya E Terrence J yupo nchini
Tanzania ,ambapo pamoja na mambo mengine,alihost uzinduzi wa filamu ya
THINK LIKE A MEN TWO,na yeye akiwa mmoja ya nyota walioigiza humo,me na
team yangu tulipata mwaliko,na hizi ni baadhi ya picha tukiingia na
mahojiano ya kwenye red carpet
Julai 12, 2014
KWA WENYE MAHITAJI NA ODA ZA VIDEO SHOOTING,KINKWIN VIDEO PRODUCTION TUNASUPPORT KAZ YAKO
Posted on Jumamosi, Julai 12, 2014 by Unknown
kinkwi productio ni kampuni inayokuja kwa kasi wapo kimara baruti
tembelea kuona kazi zao nzuri walizifafanya wahi mapema kupata hudumu
nzuri isiyokuwa na foleni wala usumbufu
Julai 11, 2014
MCHECK KIM NDANI YA KIVAZI CHA BALMAIN 2014
Posted on Ijumaa, Julai 11, 2014 by Unknown
LYRICS: Izzo Bizness -WALALAHOI
Posted on Ijumaa, Julai 11, 2014 by Unknown
Intro:
Walala hoi…Walala hoi…Walala hoi
Chorus:
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Verse 1:
Tunaunga unga maisha yetu ni safari bado tunataabika (Walala hoi) / tunakomaa maisha ni
safari imani ipo bado sisi mbali tutafika (Walala hoi) / tumazaliwa kwenye njaa njaa imetulea
sisi home mali hatujakuta (Walala hoi) / mama Yanga baba Simba upinzani babu ndani yani kila
dakika (Walala hoi) / kupinda ni sheria usishangae huku kwetu mbona imeshazoeleka (Walala
hoi) / hatujasoma dili chafu leta pesa babu hata iwe dili ya kuteka (Walala hoi) / tunaonekana
hatuna maana tunatengwa kona zote twa dharaulika / majina yote sisi Vidampa wapumbavu wezi
majambazi yote wametupachika / Rhumba kali wewe utadata/ soma pata ondoa shaka/ faster
umenipata chafu tatu maisha karata/ maisha bondi kukosa na kupata / jela nyummbani hakuna
kuogopa sheli tunamoka/ sisi machizi kama kaboka/ uchungu wa meno na kucha kamuulize
Ulimboka /
Chorus:Repeat
Walala hoi…Walala hoi…Walala hoi
Chorus:
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4
Verse 1:
Tunaunga unga maisha yetu ni safari bado tunataabika (Walala hoi) / tunakomaa maisha ni
safari imani ipo bado sisi mbali tutafika (Walala hoi) / tumazaliwa kwenye njaa njaa imetulea
sisi home mali hatujakuta (Walala hoi) / mama Yanga baba Simba upinzani babu ndani yani kila
dakika (Walala hoi) / kupinda ni sheria usishangae huku kwetu mbona imeshazoeleka (Walala
hoi) / hatujasoma dili chafu leta pesa babu hata iwe dili ya kuteka (Walala hoi) / tunaonekana
hatuna maana tunatengwa kona zote twa dharaulika / majina yote sisi Vidampa wapumbavu wezi
majambazi yote wametupachika / Rhumba kali wewe utadata/ soma pata ondoa shaka/ faster
umenipata chafu tatu maisha karata/ maisha bondi kukosa na kupata / jela nyummbani hakuna
kuogopa sheli tunamoka/ sisi machizi kama kaboka/ uchungu wa meno na kucha kamuulize
Ulimboka /
Chorus:Repeat
Juni 22, 2014
HATIMAYE LULU NA JOTI WAFUNGA NDOA KIMYA KIMYA, USIKOSE KUANGALIA NDOA YAO IFIKAPO SAA 4 USIKU ITV.
Posted on Jumapili, Juni 22, 2014 by Unknown
![]() |
Hatimaye Msanii Elizabeth Michael maarufu kama Lulu afunga Ndoa ya Kimya Kimya na Msanii wa Vichekesho Lucas Mhavile maarufu kama JOTI. Ndoa hiyo ya Kimya imefungwa siku chache zilizopita katika fukwe za Kiota cha Maraha cha Escape 1 Mikocheni |
Mchungaji akiwafungisha Ndoa hiyo ambae pia ana kipawa cha Uchekeshaji na MC aitwaye Mc Pilipili. |
Juni 10, 2014
umelisikia hili:Baada ya Diamond kurudi mtupu, hivi ndivyo Ali Kiba atakavyo wasahaulisha wabongo, machungu ya Mtv MAMA
Posted on Jumanne, Juni 10, 2014 by Unknown
Ali Kiba pamoja na mdogo wake, Abdu Kiba hivi karibuni wanatarajiwa kuwasahaulisha wabongo na story zote za mtv mama, na kuhusu yote yaliyojiri kwa
kuwaletea bonge la show litakalofanyika pale new maisha club jumapili hii.Huu ni ujio mpya wa Alikiba baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kuonekana hata kwenye media mbali mbali za hapa bongo,
Juni 09, 2014
Soma hapa:Mchekeshaji Tracy Morgan katika hali mbaya baada ya ajali
Posted on Jumatatu, Juni 09, 2014 by Unknown
Mei 26, 2014
BREAKING NEWZZZZZZZZZZ: MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE TENA AFARIKI DUNIA ASUBUHI HII
Posted on Jumatatu, Mei 26, 2014 by Unknown
Kifo
cha Recho kimekuja ndani ya wiki moja baada ya kufariki kwa msanii
mwingine wa Bongo Movi Adam Kuambiana Jumamosi iliyopita, kifo hiki
kimeleta mstuko mkubwa kwenye tasnia ya ya filamu za kibongo. Habari na
picha zaidi zitawajia baadae.
PICHA: Makatab za GPL
Mei 21, 2014
TAZAMA PICHA YA MASTAA BONGO MUVI WALIOTEMBELEA BBC, UINGEREZA
Posted on Jumatano, Mei 21, 2014 by Unknown
Wasanii hao wapo Uingereza kwa ajili ya kucheza filamu iitwayo 'Ughaibuni'.
Mastaa hao waliondoka nchini wakiambatana na wenzao ambao ni Issa Musa ‘Cloud 112’ na Yvonne Cherryl 'Monalisa'.
KUAMBIANA AZIKWA NA MASWALI MAGUMU 5
Posted on Jumatano, Mei 21, 2014 by Unknown
ADAM Philip Kuambiana amezikwa jana kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam huku akiacha maswali magumu matano kuhusu maisha, mazingira na hatimaye kifo chake, Risasi Mchanganyiko linakupa moja kwa moja.
Marehemu Kuambiana alifariki dunia Jumamosi iliyopita asubuhi akikimbizwa kwenye Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu baada ya kuugua tumbo ghafla.
Mei 19, 2014
TAZAMA HABARI KTK GAZETI HILI KUHUSIANA NA SABABU YA KIFO CHA KUAMBIANA SUMU YATAJWA
Posted on Jumatatu, Mei 19, 2014 by Unknown
Christian Bella Ft Ommy Dimpozi - Nani Kama Mama.(Official Video)
Posted on Jumatatu, Mei 19, 2014 by Unknown
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)