Text Widget

Recent Posts

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo UDAKU. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo UDAKU. Onyesha machapisho yote

Julai 13, 2014

PICHA YA SIKU:EPUKA KUFANYA UKATILI KAMA HUU


Juni 23, 2014

HILI NALO NENO:MZUNGU ALIYEDAIWA KUTUPA MKATE MANISPAA YA MOSHI AZUA MAKUBWA KWA ASKARI, TAZAMA PICHA HIZI

Baada ya kuzunguka kwa muda mrefu raia huyu wa kigeni ambaye haikufahamika mara moja anatoka nchi gani aliketi katika kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi kisha akatoa Mkate huku akiulainisha na Jam na kuanza kula.Alikula Silesi kadhaa lakini alionekana mwingi wa mawazo kila alipotafuna mkate.  
Baadae akasukumia mkate na Maji ya Kilimanjaro.Akafunga maji yake akayarudisha ndani ya begi lake.Akaendelea kutafuna Mkate.Akamuuliza mtu aliyekuwa jirani yake vipi unahitaji na wewe nikupatie kidogo na hii ilikuwa ni silesi ya mwisho.
Baada ya kupita muda mgeni huyo aliamua kuondoka eneo alilokuwa ameketi akipata mkate wake wa kila siku.Ghafla nyuma yake akajitokeza askari wa manispaa ya Moshi (Mwenye t-shirt nyeupe) ambaye ana jukumu la kusimamia maswala ya mazingira. 
Baada ya kufuatilia kwa kina ,ikagundulika kuwa askari huyo alikuwa anamfuatilia mgeni huyo akitaka kumtia mikononi kwa kosa la kutupa taka ambazo ni vipande vya mikate na kopo la Jam na kama unavyofahamu sheria za usafi kwa manispaa yetu ya Moshi. 

MAZIWA HAYASAIDII KAMA MKE WA MTU SUMU:, MTAZAME,JAMAA ALIYEFUMANIWA AKIMLA URODA MKE WA JIRANI YAKE APEWA KIPIGO HADI KATOA KINYESI

AMA kweli duniani kuna vituko! Mkazi wa Mtaa wa Lagos, Wazo Mivumoni, Msitu wa Pande jijini Dar es Salaam, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) Jumatano iliyopita alikumbwa na majanga baada ya mwanaume aliyejulikana kwa jina la Yusuf Ally ‘Mgosi wa Ndima’ kudai amemfumania Baba Eliza akiwa na mkewe ambaye jina halikupatikana.
Mgoni, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) aliyefumaniwa akiwa na mke wa mtu (jina halikupatikana).

Juni 22, 2014

MTAZAME MREMBO MZURIIIIII TZ ALIYEMFUNIKA WEMA SEPETU KWA UZURI NA PESA


WEMA SEPETU
Mda kidogo umepita Tangia Wema Sepetu kuchukua Tuzo kama Mlimbwende mwenye Mvuto zaidi hapa Bongo, na Lingine tofauti sana na ilo wema amekuwa akizungumziwa

Juni 16, 2014

Umelisoma hili:Kutana na Ngamia mtabiri wa mechi za kombe la dunia na matokeo ya utabiri wake

Kwenye miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na matumizi ya wanyama na viumbe wengine kwenye kutabiri matokeo ya mechi za soka hasa kwenye michuano mikubwa kama kombe la dunia.
Mwaka 2010 wakati wa WOZA, nchini Ujerumani kulikuwa na Pweza ‘Octopus Paul’ ambaye alitabiri mechi zote na akapatia kila utabiri, mwaka huu amekuja Ngamia aitwaye Shakeeen kutoka Dubai ambaye nae alianza kutabiri tangu siku ya kwanza.
20140616-102950-37790371.jpg
Shakeen ambaye anamilikiwa na shabiki mmoja wa timu ya soka ya Al Wasry ya Dubai, alitabiri mechi zote za ufunguzi na akapatia, akatabiri ushindi wa Italy dhidi ya England akapatia, jana akaitabidi ushindi Ufaransa na Argentina akapatia tena.

Mei 30, 2014

HII SI YA KUKOSA:KAMA WEWE UNAKIPAJI HILI LINAKUHUSU KARIBU TUJUMUIKE PAMOJA MASTAA KIBAO WATAKUWEPO



 VUTA PICHA KWENYE RED CARPET KUNA SURA ZA CELEBRITIES KIBAO.
BONGO MOVIE UNITY IS ON DA WAY!!
MZEE CHILLO, KARIBU BABA YETU!!
YVONNE CHERRY, SUZAN LEWIS 'NATASHA'
MMMMHHHHHH!! HAPANA CHEZEA WEWE!!
its gonna be parting + education all together in one night....kama upo Dar es salaam hii si kitu ya kukosa ndugu yangu..njo ww na rafiki yako.

ACTIVITIES OF THE DAY:
DAY ACTIVITIES
Sports Bonanza, Blood Donation, Health Checking,
NIGHT ACTIVITIES
Fashion show, Stage play, Stand up Comedy, Live Band Music, Music Perfomances, Theartical Perfomances, Speeches from successful entrepreneurs, jobs & business Opportunities, Talents show from students and Lecturers, Disco, Red Carpet treatment.
for more info call.
0714073353
0717810141

Mei 26, 2014

DIVA WA CLOUDS FM AZIDI KUWACHEFUA WATU AACHIA PICHA ZA UTUPU AMBAZO SIO NZURI :TAZAMA HAPA





Machi 12, 2014

TAZAMA:KENYAN HOT SEX PHOTOS...UNAAMBIWA HAWA WADADA NDIO WANAOSUMBUA ZAIDI KENYA KWA SHAPE NA KILA KITU..NI SHIDAAA...!!!

 

POMBE SIO CHAI...PICHAZ..MISS AUMBUKA BAADA YA KUZIMA...!!HATARI SANA..JIONEE MWENYEWE HAPA...!


MISS KISWAHILI REHEMA FABIAN

EPUKA ULEVI ULIOKITHIRI NOMAAA SANA...PICHAZ..JIONEE MWENYEWE MENEJA ALIVYOFANYWA KITU MBAYA BAADA YA KUVIFAKAMIA VIROBA...!


Meneja wa Club ya V.I.P mjini Iringa Mick akiwa amezima baada ya kunywa viroba na kisichana kwa kuonyesha uwezo wake na baada ya dakika 20 akazima kama hivi ,hapa nalazimika kukumbuka ule ujumbe wa chonde chonde! ulevi Nomaaaaaaaaaa!?

Januari 21, 2014

HII NDO KUFURU YA PESA YA MCHEZAJI..'SAMUEL ETO’O' HAYA NDIYO MAGARI YA KIFAHARI ANAYOMILIKI NA ANAYOPENDELEA


 




 
Huyu ni raia Cameroon anayesakata Kabumbu la kulipwa huko barani Ulaya, kwa sasa anaichezea Timu ya Chelsea, Pia Samuel ni mchezaji wa timu ya Taifa ya Cameroon. Eto'o hivi karibuni

JE UNATAKA KUJUA SIRI YA HERUFI YA KWANZA YA JINA LAKO soma hapa....!!!


Je Unajua Siri ya herufi ya mwanzo ya jina lako?. Soma hapa utaweza kuelewa Tabia zako au tabia za rafiki au mpenzi wako.

Desemba 23, 2013

TAZAMA MASTAA WA BONGO AMBAO WAMEKUWA VINARA WA SKENDO MWAKA 2013,NI NOUMAAAAA!!!!!!

AGNES GERALD ‘MASOGANGE’
Video Queen huyo alitikisa mwaka 2013 kwa skendo ya kukamatwa na dawa za kulevya huko Afrika Kusini na kuwekwa rumande kwa siku kadhaa.
Baadaye alifikishwa mahakamani ambapo iligundulika kuwa mzigo aliokuwa amebeba siyo dawa za kulevya ila ni unga unaotumika kama dawa za binadamu na kesi ikaishia hapo.
Pia Masongange alikuwa kinara wa kupiga picha za nusu utupu ambazo alizitundika mtandaoni na kugeuka gumzo kubwa.

Desemba 11, 2013

TAZAMA KAULI YA KISHUJAA ALIYOSEMA WEMA SEPETU KUHUSIANA NA DIAMOND


Je wewe ni kati ya wanaoamini kuwa wapenzi ‘wa zamani’ Wema Sepetu na Diamond Platnumz wanashindana kwa namna yoyote? Star wa kipindi cha ‘In My Shoes’ Wema Sepetu ameshare ujumbe kwa wote wanaofikiria hivyo.


Desemba 10, 2013

NI HATARIIII!!!!,"TAZAMA MADHARA NA MUONEKANO WA HUYU DADA BAADA YA MATUMIZI YA MADAWA HAYO"

huo ni muonekano wa kabla na baada wa binti huyu baada ya matumizi ya mkorogo

Desemba 09, 2013

HIII NI HATARIIIIIIIII!!!!!!!!!,TAZAMA KITUKO CHA MWAKA DUNIANI,ATEMBEA JUU YA KAMBA AKIWA UCHI WA MNYAMA HUKU KAMBA AMEIFUNGA KWENYE SEHEMU ZAKE NYETI

Watu hawa wa ajabu walikutwa kwenye tamasha la highline wakiwa wanatembea juu ya kamba kwa umbali wa mita 61 huku wakiwa uchi wa mnyama .

TAZAMA MADHARA NA NI DHAMBI YA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE NA MAPENZI YA JINSIA MOJA YAZIDI KUTUMALIZA


Miji ya Sodoma na Gomora, Jordan iliangamizwa na kizazi cha Lutu kugeuzwa miamba ya chumvi lakini hali halisi ya Tanzania inakaribia kuzidi kila uchafu uliomchukiza Mungu na kusababisha maangamizi.

KAMA WW NI MWANAMKE HILI LINAKUHUSU" HIVI KWANII WANAWAKE WENGI HUSUMBULIWA NA HILI...!!"



Ni pale mwanaume anapoonyesha tamaa kubwa ya ngono na kulazimisha kukutana kimwili wakati mwanamke aliweka msimamo wa kutokutana kimwili na mwanaume yeyote mpaka baada ya muda fulani tangu kufahamiana na kuwa wachumba au mpaka pale watakapofunga ndoa

Desemba 07, 2013

MJANJA KANASWA,HATIMAYE AUNT LULU ATUNGWA MIMBA,"SOMA HAPA ZAID"


Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
MSANII wa filamu, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ baada ya kurukaruka sana, sasa inadaiwa ni mjamzito wa takribani miezi mitano.