Mkuu
 wa mkoa wa Ruvuma, Saidi Mwambungu (katikati) akiongea na wasanii wa 
Fiesta (hawapo pichani) asubuhi ya leo muda mfupi baada ya kuwaomba 
kunywa nao chai Ikulu ndogo Songea.
Wasanii wa Serengeti Fiesta wakiendelea kumsikiliza mkuu wa mkoa wa Ruvuma.
Mkurugenzi
 wa utafiti na maendeleo wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba(wa pili 
kutoka kushoto) akiwaongoza wasanii wa Serengeti Fiesta Ikulu ndogo 
Songea.
0 comments:
Chapisha Maoni