ISRAEL imeeleza kwamba inawezekana ndege hiyo ya jeshi la SYRIA ilipita katika eneo la anga linalodhibitiwa na jeshi lake kwa bahati mbaya.
SYRIA imelielezea tukio hilo kuwa ni la makusudi.
Eneo ilikoshambuliwa ndege hiyo limekuwa likishuhudia mashambulizi baina ya wapiganaji wa kundi la AL QAEDA wanaohusishwa na kundi jingine la wapiganaji la NUSRA na wale wanaomuunga mkono Rais BASHAR AL ASSAD wa SYRIA.
0 comments:
Chapisha Maoni