Januari 27, 2014
TAZAMA MAAJABU HAYA:NYOKA MKUBWA AINA YA CHATU AKUTWA AMEKUFA NDANI YA BONETI YA GARI NDOGO
Posted on Jumatatu, Januari 27, 2014 by Unknown
Joka
kubwa aina ya chatu la kutwa limekufa ndani ya bonneti ya gari ndogo,
joka hilo lilikufa ndani ya boneti kwasababu ya kuungua kutokana na joto
kali la engine.,,kuweni makini mnapo fungua bonet za magari unaweza
kuta hajafa akakugonga...
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni